Psalms 107:10-11


10 aWengine walikaa gizani na katika huzuni kuu,
wafungwa wakiteseka katika minyororo,
11 bkwa sababu walikuwa wameasi
dhidi ya maneno ya Mungu
na kudharau shauri
la Aliye Juu Sana.
Copyright information for SwhNEN